Quantcast
Channel: ZanziNews
Viewing all articles
Browse latest Browse all 36157

Tani 30 za tende iliyoharibika zateketezwa

$
0
0




 Hivi karibuni Bodi ya Dawa na Chakula Zanzibar  (ZFDA)  Imefanikiwa kuteketeza jumla ya tani 30 za  tende ilioharibika kutokana  na uhifadhi mbaya na kupelekea kutokua salama  Kwa matumizi ya  binaadam, pichani ni Tikatika likiteketeza tende  hiyo  katika jaa la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 36157

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>