Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Atoa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa Mwandishi wa Habari Mbobevu Mariam Hamdani kwenye hafla ya Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 zilizofanyika katika...
View ArticleMwakilishi wa Jimbo la Bumbwini Kukabidhi Vifaa na Zawadi kwa Wanafunzi...
Na. Takdir Ali.Mwakilishi wa Jimbo la Bumbwini Mhe. Mtumwa Peya Yussuf amewataka Vijana kukiamini na kukichaguwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kiendelee kushika Dola na kuleta Maendeleo kwa Wananchi...
View ArticleRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al...
View ArticleMsajii wa Hazina Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar
Mwenyekiti wa Zanzibar CEOs Forum Juma Burhan akizungumza katika Mkutano uliowajumuisha Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali kuhusiana na Jukwaa la Taasisi za Umma wenye lengo la kuleta Umoja...
View ArticleInnalilahi Wainalaihii Rajiuon Kocha Dani
INALILAHI WAINAILAHII RAJIUONÂ SAID DANI AMETANGULIA. MBELE YA HAKIALLAH AMSAMEHE NA KUMFUTIA MAKOSA YAKE NA SIYE ATUJAALIYE MWISHO MWEMA
View ArticleMhe. Khamis : Amewataka Wananchi Kuacha Shughuli Zinazochangia Uharibifu wa...
 Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali bungeni wakati wa Kikao cha 18 Mkutano wa 19 wa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 06 Mei, 2025.Naibu...
View ArticleSerikali itaendelea kuimarisha viwanja vya michezo ili kuibua vipaji vya...
Serikali itaendelea kuimarisha viwanja vya michezo ili kuibua vipaji vya vijana Nchini.Hayo yameelezwa na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita wakati alipofanya ziara...
View ArticleUJENZI WA OFISI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAFIKIA ASILIMIA 90
Mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki unaoendelea katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, umefikia asilimia 90 huku ukitarajiwa kukamilika Juni...
View ArticleKongamano la Kwanza la Nishati Safi ya Kupikia Afrika Mashariki Lafanyika...
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi  Innocent Luoga akipata maelezo wakati alipotembelea Maonesho yanayoenda sambamba na kongamano la kwanza la Nishati Safi ya Kupikia la Afrika  Mashariki....
View ArticleBenki ya CRDB Yawahakikishia Wawekezaji Ukuaji Endelevu wa Uwekezaji wao
Dar es Salaam, Mei 6, 2025 – Kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 ya tokea kuanzishwa kwake, Benki ya CRDB imeandaa Kongamano la Wawekezaji jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Johari Rotana,...
View ArticleRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. David Cleopa Msuya kilichotokea leo tarehe 07 Mei, 2025...
View ArticleMaafisa Forodha wa Nchi Nane Wapewa Mafunzo Mkoani Arusha
Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Fainahappy Kimambo akifungua Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa Itifaki ya Montreal inayohusu udhibiti wa kemikali...
View ArticleUufunguzi wa Kongamano la Vituo vya Utangazaji Zanzibar.
Waziri wa habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita amevitaka vyambo vya habari kuripoti Sera na Ilani ya vyama vya siasa ili Wananchi waweze kupata elimu ya kutosha.Ameyasema hayo,...
View ArticleDkt.Biteko Awataka Maafisa Maendeleo Jamii Wasikubali Kuachwa Nyuma. 📌...
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa NishatiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza maafisa maendeo ya jamii nchini kushirikiana na kuhakikisha wanashirikishwa...
View ArticleKAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa, Mheshimiwa Kuruthum Issa Runje akikagua utekelezaji wa ilani ya CCM wilaya ya Kilwa mkoani LindiViongozi wa chama chama mapinduzi mkoa wa Lindi...
View ArticleMKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MARYAM MWINYI AZINDUA WIKI YA AFYA...
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Maryam Mwinyi akikata Utepe kuashiria Uzinduzi wa Programu ya Shehia Afya 2025,Afya Bora Maisha Bora katika hafla ya Uzinduzi wa Wiki ya Afya Zanzibar (Zanzibar Afya Week...
View ArticleRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei,...
View ArticleRais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Dini ya Kiislamu, alipowasli katika viwanja vya Masjid Mohammed VI Bakwata...
View ArticleWAZIRI MKUU AHANI MSIBA WA MHE. CLEOPA DAVID MSUYA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Cleopa David Msuya, Upanga jijini Dar es Salaam, Mei 08,...
View ArticleNSSF YAWATAKA WAAJIRI KUWASILISHA MICHANGO KWA WAKATI, YAENDELEA KUBORESHA...
Na MWANDISHI WETU, TANGA. Waajiri wa sekta binafsi wametakiwa kuzingatia wajibu wao wa kuwasilisha michango ya wafanyakazi kwa wakati ili kuwawezesha wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii...
View ArticleWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Ameongoza...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 09, 2025 ameongoza Kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Hayati Cleopa David Msuya kilichofanyika...
View ArticleRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo rasmin na Ujumbe wa Msumbiji ukiongozwa na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel...
View ArticleKapinga Azindua Kituo Mama cha Gesi Asilia Iliyoshiindiliwa (CNG) Jijini Dar...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga (Wa Nne kutoka kulia) akizindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku huku...
View ArticleWafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum, ikiwemo Watu wenye...
Mwakilishi wa viti maalum kupitia Watu wenye ulemavu Mhe. Zainab Abdallah Salim amewataka Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum, ikiwemo Watu wenye ulemavu ili waweze kuepukana na hali...
View ArticleRais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco Chapo mara baada ya kuhitimisha Ziara yake ya Kiserikali,...
View Article