Quantcast
Viewing latest article 20
Browse Latest Browse All 35745

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ahitimisha Ziara yake ya Kiserikali nchini Angola kwa kutembelea Kiwanda cha Mafuta cha Luanda Oil Refinery nchini humo

 Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassanakiangalia historia ya Kiwanda cha kusafisha Mafuta cha Luanda Oil Refinery wakati akihitimisha ziara yake Jijini Luanda nchini Angola

Image may be NSFW.
Clik here to view.


Image may be NSFW.
Clik here to view.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa wakati akihitimisha Ziara yake ya Kiserikali Luanda nchini Angola.Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa wakati akihitimisha Ziara yake ya Kiserikali Luanda nchini Angola.Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. João Manuel GonçalvesLourenço wakati akihitimisha ziara yake ya Kiserikali, Luanda nchini Angola.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. João Manuel GonçalvesLourençowakati akihitimisha ziara yake ya Kiserikali, Luanda nchini Angola.

Matukio mbalimbali wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassanakihitimisha Ziara yake ya Kiserikali, Luanda nchini Angola tarehe 09 Aprili, 2025.


Viewing latest article 20
Browse Latest Browse All 35745

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>