Mkutano wa Sita wa Chama cha Wanasheria wa Mabunge ya Nchi mbali mbali za...
Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Ndg Raya Issa Msellem Akitoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Sita wa Chama cha Wanasheria wa Mabunge ya Nchi mbali mbali za Afrika...
View ArticleBodi ya Michezo ya Kubahatisha GBT Yateketeza Mashine Haramu 300 za Michezo...
Mkurugenzi Mkuu wa GBT Bw. James Mbalwe (kulia) akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) sehemu ya shehena ya mashine haramu za kuendeshea michezo ya kubahatisha (Slot Machines) zipatazo 300,...
View ArticleRais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Rais wa Kampuni ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kampuni ya TotalEnergies katika masuala ya Utafiti na Uzalishaji Nicolas Terraz mara baada ya kuwasili pamoja na...
View ArticleWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Amekutana...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watanzania waishio nchini Korea kwenye hoteli ya Mondrian iliyopo Seoul.Baadhi ya Watanzania waishio nchini Korea wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
View ArticleMasheha wa Wilaya ya Kusini kuzidi kutoa elimu kwa wananchi wao juu ya...
Na.Mwandishi Wetu Kusini Unguja. MKUU wa Wilaya ya Kusini Mhe.Rajab Yussuf Mkasaba amewahimiza Masheha wa Wilaya ya Kusini kuzidi kutoa elimu kwa wananchi wao juu ya kufuata Sheria na misingi ya Haki...
View ArticleWaziri Gwajima Awatwika Wazee Jukumu la Malezi
Na WMJJWM-ArushaWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amewataka Wanaume wazee kuwaandaa na kuwalea vijana kwa ajili ya maisha ya uzeeni.Waziri Dkt....
View ArticleTSAP Yaibuka na Tafiti Zitakazoboresha Sekta za Mifugo na Uvuvi Tanzania...
Afisa Mauzo kutoka kampuni ya Pembejeo za Mifugo ya "Afrifarm" Bw. Emanuel Senge (kushoto) akimuonesha Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. David Lyamongi (kulia) chakula cha Mifugo kinachouzwa na...
View ArticleSerikali Yakabidhi Hati za Kimila Mkalama Kupitia Mradi wa LDFS
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama mkoani Singida Mhe. James Mkwega akikabidhi hati ya kwa mmoja wa wanakijiji cha Mpambala wilayani kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza...
View ArticleMAKAMU WA PII AKAGUA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MATOKEO YA SENSA DODOMA
Na.Abdulrahim Khamis.OMPRWananchi wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa Jirani wametakiwa kushiriki katika Hafla ya Uzinduzi wa Matokeo ya Awali ya Sensa ya Watu na Makazi hafla inayotarajiwa kufanyika Oktoba 31...
View ArticleJiji la Tanga Lamwaga Mikopo yenye Thamani ya Zaidi ya Shilingi Bilioni 2
Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mhe. Abdulrahman Shiloo akikabidhi hundi kwa moja ya vikundi vya wakina mama wajasiriamali Jijini Tanga Na Oscar Assenga,TANGA.HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imefanikiwa...
View ArticleTanzania na Malawi Kushirikiana katika Masuala ya Ulinzi na Usalama
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na Waziri wa Sheria wa nchini Malawi Mhe. Titus Mvalo wakisaini Hati za Makubaliano kwenye Mkutano wa Tano wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano...
View ArticleSerikali Kufanya Maboresho Makubwa ya Mfumo wa Ununuzi
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Hamad Hassan Chande (Mb) akiwataka wataalamu wa maboresho makubwa ya Mfumo wa Ununuzi Serikalini, kuhakikisha wanamaliza kazi kwa wakati, alipofanya ziara ya...
View ArticleRais Mhe. Samia Suluhu Hassan aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Kiwanja...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Meneja Mkaazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa upande wa Tanzania Dkt. Patricia Leverley kuashiria...
View ArticleTani 30 za tende iliyoharibika zateketezwa
Hivi karibuni Bodi ya Dawa na Chakula Zanzibar (ZFDA) Imefanikiwa kuteketeza jumla ya tani 30 za tende ilioharibika kutokana na uhifadhi mbaya na kupelekea kutokua salama Kwa matumizi ya...
View ArticleCHAVIZA yafanya uchaguzi wa viongozi
Na Rahima Mohamed Maelezo 31/10/2022 Mkurugenzi wa Baraza la watu wenye Ulemavu Zanzibar, Ussi Khamis Debe amewataka viongozi wa chama Cha Viziwi, kuhakikisha wanatoa mafunzo ya lugha ya alama kwa...
View ArticleBenki ya CRDB Yazindua Programu ya Uwezeshaji kwa Vijana na Wanawake...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi milioni 50 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela...
View ArticleUVCCM Iringa Vijijini : Iringa Sio Soko la Wafanyakazi wa Ndani
Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Iringa Elia Kidavile akitoa kiasi cha shilingi laki mbili kwaajili ya kukarabati sakafu za shule ya msingi Mlolo wakati wa mahafali ya 59 toka kuanzishwa kwa shule...
View Article