Quantcast
Channel: ZanziNews
Browsing all 36119 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mhe. Khamis Hamza Aanika Mikakati ya Kukabiliana na Mabadiliko...

 Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amesema Serikali imechukua hatua mbalimbali ikiwemo kutekeleza miradi ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa China azungumza na wanahabari Zanzibar

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Hassan Khatibu Hassan akitoa hotuba ya makaribisho katika mkutano wa Balozi wa China Zhang Zhi Sheng na Vyombo vya Habari mbalimbali kuelezea Uchaguzi wa Chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dk Hussein Mwinyi afungua kituo cha TEHAMA Bwefum Wilaya ya Magharibi...

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Tuzo Maalum kwa pamoja na Mawaziri wa SMZ na SMT (kulia kwa Rais) Waziri wa Habari, Mawasiliano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi afungua Mkutano wa mwaka wa Jumuiya ya Kimataifa...

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano wa mwaka wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wachakata Nafaka,uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli...

View Article

Kizimkazi Mkunguni wapongezwa kwa jitihada za kujitafutia maendeleo

 MKUU wa Wilaya ya Kusini Rajab Yussuf Mkasaba amewapongeza wananchi wa kijiji cha Kizimkazi Mkunguni  kwa jitihada zao za  kujitafutia maendeleo na kukuza kipato chao kupitia sekta ya uvuvi. Mkuu huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe Hemed akutana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Na Abdulrahim Khamis , OMPR Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar wa Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla amemtaka Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutangaza fursa zilizopo Nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Adadi Rajab Awataka Wanafunzi wa Shule ya Muheza Muskim Kusoma kwa Bidii

KAMISHNA wa Tume ya Utumishi wa Umma nchini Balozi Adadi Rajab akizungumza wakati wa maafali ya shule ya Sekondari Muheza Muslim.Na Oscar Assenga,MUHEZAKAMISHNA wa Tume ya Utumishi wa Umma nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wa Kijiji cha Kizimkazi Mkunguni Wapongezwa kwa Jitihada Zao Kupitia...

 MKUU wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe.Rajab Yussuf Mkasaba amewapongeza wananchi wa kijiji cha Kizimkazi Mkunguni  kwa jitihada zao za  kujitafutia maendeleo na kukuza kipato chao kupitia sekta ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB Kuanzisha Programu ya Uwezeshaji kwa Wajasiriamali Vijana na...

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kuhusu huduma za kidijitali zinazotolewa na Benki ya CRDB kutoka kwa Meneja wa Tawi la Benki hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja wa Ulaya Waipatia Tanzania Msaada wa Shilingi Bilioni 380

Mkutano ukiendelea, ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Kamishna wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Kamisheni ya Ulaya Bi. Jutta Urpilainen,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANA-MALAWI WAKUTANA KUJADILI MASUALA YA USHIRIKIANO

Meza kuu wakifuatilia Mkutano wa Tano (5) wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Malawi katika ngazi ya Maafisa Waandamizi uliokuwa ukiendelea katika ukumbi wa Mikutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kufanyika kwa Vikao vya Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi Ngazi ya Taifa

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuwataarifu wanachama wake na watanzania wote kuhusu kufanyika kwa vikao vya kawaida vya uongozi ngazi ya Taifa Jijini Dodoma kuanzia tarehe 28 Oktoba, 2022 Kamati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOREA YAIPATIA TANZANIA MKOPO NAFUU - MAJALIWA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI

Tanzania na Korea leo Oktoba 27, 2022 zimetia saini mikataba miwili ambapo Korea itaipatia Tanzania mkopo nafuu  wa Sh. Bilioni 310 kupitia Benki ya Exim ya Korea. Mikataba hiyo inahusu awamu  ya pili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI MERYPRICA MAHUNDI AONYA CHEPUSHAJI MAJI

 Naibu Waziri wa Maji Meryprisca Mahundi akizungumza kwenye kikao baina ya Kamati ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta inayoshughulikia migogoro ya matumizi ya ardhi katika vijiji 975 na wananchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Developer unveils plans for Africa’s first hybrid timber tower in Zanzibar

 The 96m tower is planned for Fumba Town, the location of the “Silicon Zanzibar” initiative to attract tech companies to the fast growing island (Courtesy of OMT)Developer CPS Zanzibar this month...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIST yakaribisha wanafunzi wapya

 Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume  Zanzibar  (KIST), Dk. Mahmoud Abdulwahab akizungumza na Wanafunzi wapya waliojiunga na  Taasisi ya  Karume katika wiki ya kuwakaribisha (Orientation...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk Hussein Mwinyi ashiriki Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Chamwino, Dodoma

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akifuatana Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Adalla Juma Sadala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya  CCM kilichofanyika tarehe 28...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati Kuu CCM yampongeza Rais Samia

*Ni kuhusu utayari wake wa kuimarisha demokrasia, kikosi kazi chatajwa kuwa kielelezo*Pia yampongeza Rais Dk. Hussein Mwinyi kwa kuendelea kuimarisha uhusiano wa kisiasa Z'barNa MWANDISHI WETUKAMATI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe Othman atembelea Wodi ya wagonjwa wa Surua hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman (kushoto), akipokea maelezo kuhusu wagonjwa wa Surua  kutoka kwa Daktari Bingwa wa Magonjwa ya watoto Dokta Zubeida Mohammed...

View Article
Browsing all 36119 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>