MGOMBEA Ubunge jimbo la Wawi Daudi Khamis Juma mwenye ilani ya CCM, akiwa na mgombea Uwakilishi jimbo hilo Hamadi Abdalla Rashid, wakimsikiliza kwa makani Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mjini Baraka Shamte, wakati akizindua kampeni za Jimbo hilo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWENYEKITI wa kamati ya Siasa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na wananchi wa jimbo la wawi, wakati wa uzinduzi wa kampenzi za jimbo hilo, katika viwanja vya Maskani ya wazee Machomanne.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)