Msafara wa Lowassa Wasimamishwa zaidi ya Mara Nne Wakati Akiwa Safarini...
Msafara wa Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ukichanja mbuga kutokea jijini Tanga kuelekea jijini Dar es salaam mapema leo...
View ArticleTangazo la Biashara ya Vifaa vya Mashine za Kuzibia Pancha Matairi ya Magari...
Mashine za Kuzibia Mipira ya Gari Re Condition kutoka Uingereza Zikiwa katika hali Nzuri na Ubora wake Zikiwa katika Seti moja Pcs 3 Zinauzwa kwa Bei Rahisi Shilingi miliono 7, Maelewano Yamo. Na...
View ArticleMgombea Urais wa CCM Dk Magufuli Aendelea na Kampeni zake,Kesho Kunguruma...
Pichani kati ni Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akiwa sambamba na Mgombea Ubunge wa jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde kwa pamoja wakiwapungia wananchi wa jimbo la Mtera (hawapo...
View ArticleCCM Zanzibar Yafanya Tathimini yatarajia Kujipatia Ushindi wa Asilimia 60%
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar 29/09/2015Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali...
View ArticleEmirates yamtambulisha Meneja mpya wa Tanzania
*Ni Bw. Husain AlsafiMeneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati alipokuwa akijitambulisha, Dar es Salaam...
View ArticleMgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein Aendelea na Mikutano Yake ya Kampeni...
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein. akisalimiana na Viongozi wa CCM alipowasili katika viwanja vya garagara mtoni kwa ajili ya kuendelea na mikutano yake ya kampeni Zanzibar kuomba ridhaa...
View ArticleWasimamizi na Waratibu wa Uchaguzi Mikoa ya Iringa na Mbeya Watakiwa...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro.Na Kahema Emanuel,MbeyaWito umetolewa kwa Waratibu wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri...
View ArticleMakamu wa Rais Dk. Bilal Achangisha Shs.105 Milioni Kuhifadhi Vyanzo vya Maji...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Maalum, Mshauri wa kampuni ya VIP Engineering & Marketing, Fr. James Rugemalira, wakati wa hafla ya...
View ArticleMkutano wa CUF Mtambwe
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wafuasi wa Chama hicho katika viwanja vya Uondwe Mtambwe. Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo...
View ArticleRais Kikwete ahutubia kwa mara ya mwisho kwenye Baraza la Umoja wa mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mataifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....
View ArticleUzinduzi wa kanuni ya kudhibiti matumizi ya misumeno ya moto
Baadhi ya misumeno ya moto iliokamatwa katika sehemu mbalimbali ambayo ikitumika katika kukata miti ikiwa imewekwa kusubiri kuangamizwa kwa moto katika Uzinduzi wa Kanuni ya kudhibiti na matumizi ya...
View ArticleIT Bridge yawafikia wanafunzi 60,000
Kamishina wa Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eusella Bhalalusesa akizungumza kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome kuzindua...
View ArticleMkutano wa CCM Kojani
MWANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Kojani, akiwa na mjukuu wake kwenye mkutano wa kampeni uliokuwa na lengo la kuwanadi ugombea ubunge, uwakilishi na udiwani jimboni humo, (Picha na Haji...
View ArticleTCRA yajipanga kuliwezesha Jeshi la Polisi kukabiliana na matumizi ya mabaya...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Uongozi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania { TCRA } ukiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wake Dr. Ally Yahya Simba wa Pili kutoka...
View ArticleMkutano wa kampeni wa CCM Wawi
MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Mjini Baraka Shamte, akizungumza na wananchama wa CCM Jimbo la Wawi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za jimbo hilo, huko katika viwanja vya maskani ya wazee Machomanne Chake...
View ArticleMkutano wa wadau wa habari ulioandaliwa na Press Club Pemba
KATIBU Mkuu wa Pemba Press Club Khatib Juma Mjaja, akitoa maelezo Mchache kwa washiriki wa kongamano la wadau wa Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu, lililoandaliwa la PPC kwa kushirikiana na Umoja wa...
View ArticleWanahabari watakiwa kuzingatia usalama wao wakiwa kazini
Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania THRDC(katikati) Harusi Mpatani akionesha Mfano wa Jacketi ambazo wamezitoa msaada kwa Wanahabari wa Zanzibar kupitia Jumuiya ya...
View ArticleMagufuli aahidi kukomesha mapigano ya wakulima na wafugaji nchini
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo,...
View ArticleMkutano wa CUF Mwambe, jimbo la Kiwani Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wanachama wake katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Mwambe jimbo la Kiwani....
View Article